Tunatengeneza freelancers wa kusajili laini za vodacom

 Karibu tufanye kazi, chini ya uongozi bora wa MAPOIZON COMPANY (Iringa, Ifunda) unaweza kutimiza ndoto zako, tutakutengenezea code uwe freelancer wa kusajili laini za vodacom, muhimu uwe na namba ya NIDA, uwe unajua kusoma na kuandika,uwe unamiliki simu janja yenye uwezo mzuri wa intaneti, pia simu yako ikiwa inatumia type C itatapendeza zaidi kwani scanner zilizopo kwa sasa ni za type C, pia scanner hizo bei zake si ghali sana zinauzwa kuanzia elfu 40 hadi elfu 30, pia ukiwa wakala wa usajili, laini moja unanunua kwa shilingi 500 hivyo ukinunua laini za eflu 25 utakuwa na laini 50, lakini ukisajili laini 50 ndani ya mwezi mmoja zitakulipa laki na kuendelea nimeelezea vizuri hapo chini namna ya malipo kwa freelancer, kama unahitaji kufanya kazi uwe freelancer karibu sana tupigie simu kupitia namba hii 0755217052 au hii 0792217052 utapewa code na maelekezo zaidi uanze kazi mapema iwezekanavyo. Kwa wale watakaojiunga kufanya kazi chini ya company yetu na wakawa wapambanaji watakuwa wanapewa support pia ya laini za bure, zipo support nyingi pia utapewa kama utakuwa mpambanaji lengo la company yetu ni kuhakikisha kila mmoja ananufaika endapo anatia juhudi na kufanya kazi.


Hapa chini nimekuwekea mfumo mzima wa malipo kwa freelancers, kwenye kazi hii freelancer ana uwezo wa kutengeneza laki nne na kuendela kila mwezi, kumbuka unalipwa kwa kamisheni hivyo huna kikomo cha kutengeneza pesa hivyo unaweza kutengeneza hata milioni moja na kuendelea kila mwezi kama utaunganisha wateja wengi kila mwezi wenye tija na matumizi mazuri.


---


### 💼 **Mpango wa Kamisheni kwa Mawakala wa Usajili – 2025**


Kamisheni hulipwa kwa kila laini mpya iliyosajiliwa na wakala, kwa kipindi cha miezi minne mfululizo tangu mwezi wa usajili. Kiasi cha kamisheni hutegemea idadi ya laini (RGAs) alizosajili wakala ndani ya mwezi husika, kulingana na makundi yafuatayo:


#### 🥇 **Band 1: RGAs 100 au zaidi**

- **Mwezi wa 1:** 70%

- **Mwezi wa 2:** 40%

- **Mwezi wa 3:** 40%

- **Mwezi wa 4:** 40%


#### 🥈 **Band 2: RGAs 51 - 99**

- **Mwezi wa 1:** 65%

- **Mwezi wa 2:** 40%

- **Mwezi wa 3:** 40%

- **Mwezi wa 4:** 40%


#### 🥉 **Band 3: RGAs 11 - 50**

- **Mwezi wa 1:** 60%

- **Mwezi wa 2:** 40%

- **Mwezi wa 3:** 40%

- **Mwezi wa 4:** 40%


#### 🎖️ **Band 4: RGAs 1 - 10**

- **Mwezi wa 1:** 30%

- **Mwezi wa 2:** 40%

- **Mwezi wa 3:** 40%

- **Mwezi wa 4:** 40%


---


### 🔁 **Mfumo wa Malipo**

- Kila laini mpya iliyosajiliwa na wakala hulipwa kwa **awamu nne**.

- Malipo ya kwanza ni ya juu zaidi, yakifuatiwa na malipo ya asilimia 40 kwa miezi mitatu inayofuata.

- Mfano: Ikiwa wakala atasajili laini 50 mwezi Januari (Band 3), atalipwa 60% ya kamisheni mwezi huo, kisha 40% ya kamisheni hiyo hiyo mwezi Februari, Machi, na Aprili.


---



Previous Post Next Post